TULINDE MAADILI YA VIZAZI VYA SASA NA VIJAVYO-RAIS DK.MWINYI.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Dunia kwa sasa inakabiliwa na changamoto za harakati kuhusu kupenyeza uharibifu wa maadili hivyo kupitia utaratibu wa mashindano ya kuhifadhi Qur’aan ni jitihada za kuimarisha maadili mema kwa kuwalea vijana kiroho na kitabia. Ameyasema hayo leo tarehe 16 Aprili 2023 katika